Chorus
Ona mnavyopendeza,nona mnavyometameta x2
Wapenzi wana harusinmwende mkaishi salama x 2
Verse 2
Kwenye maisha ya ndoa,nkuna raha pia tabu,nmkiishi kwa upendo tabu na raha ni sawa.n
Mpendane siku zote,nkatika maisha yenu,nmsiruhusu shetani kuvuruga ndoa yenu.n
Watoto mtakaopewa,nmuwatunze hao vyema,nkwani kufanya hivyo Mungu mtampendeza.n
Mjenge familia bora,nyenye kuheshimu sala,nkwani kwa njia ya sala tunaongea na Mungu.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.