SectionsExitRoho Yangu Yashangilia

Roho Yangu Yashangilia

MarianExit
Chorus

Moyo wangu wamuadhimisha

Wamuadhimisha Bwana, na roho, rohonyangu, Roho yangu yashangilia, (shangilia)nyashangilia, Roho yangu yashangilia,nkatika Mungu wangu

Verse 2

Kwa kuwa amemuangalia kwa hurumanmtumishi wake, tangu sasa vizazi vyote,nwataniita mwenye heri kwani yeye aliye

Mwenyezi amenitendea mambo makuu

Jina lake ni takatifu, jina lake ni takatifu

Verse 3

Huruma yake ni kwa wote kwa walenwote wamchao kizazi hata na kizazi,nkizazi hata na kizazi x2

Verse 4

Amewaondosha wenye enzi, kutoka kwankiti cha enzi, kawakuza wanyenyekevu,nkawakuza wanyenyekevu. Amewashibishanwenye njaa, amewashibisha na memanmatajiri kawarudishi, rudisha mikononmitupu

Verse 5

Amempokea mtumishi wake, mtumishinwake Israeli, kama alivyowaambia,nwaambia mababu zetu mababu zetu

Ibrahim, Ibrahim wa wazao wake milelenhata na milele, milele hata na milele

Verse 6

Atukuzwe ee Mungu Baba, atukuzwenna Mungu Mwana naye Roho Mtakatifu,nnaye Roho Mtakatifu kama mwanzo nansiku zote, siku hata milele. Siku zote hatanmilele, siku zote hata milele

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.