SectionsOffertorySadaka Ya Kuazima

Sadaka Ya Kuazima

Ordinary TimeOffertory
Chorus

Jiandae wiki nzima weka tayarinsadaka yako mkristu (toa kwa moyo safi)

Usitoe kwa uchoyo wala sadaka ya kuaziman{(jasho lako) umtolee Mungu alicho kupa hahitaji zaidin(maana) Vitu vyote mali yake toa kwa ukarimu } *2

Verse 2

Ninaona hasara kutoa (nanung'unika)

Bwana ona mi nilivyo changanyikiwa

Mara nyingi naomba jirani (hapa kitini)nsiyo yangu ni sadaka ya kuazima

Verse 3

Ninaona uchoyo kutoa (sadaka yangu)nninaleta kidogo tena kwa uchungu

Mara nyingine sitoi kitu (nilicho nacho)nninaficha sadaka yangu mfukoni

Verse 4

Ninaona aibu kubaki (ni wasiwasi)nnimeketi nao wengine wanatoa

Mara nyingine hata siendi (nimekimbia)nkanisani ninahepa michango nyingi

Verse 5

Wana baraka wanaotoa (kwa moyo ule )nwa Abeli wa Ibrahimu na Isaka

Bwana Mungu haipendi sadaka (yake Kaini)nwala yule Anania na Safira

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.