Sheria Yako Naipenda
Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus
Sheria yako naipenda mno ajabu
Sheria yako naipenda mno ajabun{Ndiyo kutafakari kwangu
Ndiyo kutafakari kwangu
Mchana kutwa mchana kutwa} *2
Verse 2
Bwana ndiye aliye aliye fungu langu
Nimesema kwamba nitayatii maneno yako
Nimekuomba radhi kwa moyo wangu wote
Nifadhili sawa na ahadi yako
Verse 3
Umemtendea mema mtumishi wako
Sawasawa na neno lako na neno lako
Unifundishe akili na maarifa
Maana nimeyatii maagizo yako
Verse 4
Wewe u mwema na mtenda mema
Unifundishe unifundishe amri zako
Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu
Kuliko maelfu na dhahabu na fedha
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.