SectionsBible ProcessionSheria Yako Naipenda

Sheria Yako Naipenda

Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus

Sheria yako naipenda mno ajabu

Sheria yako naipenda mno ajabun{Ndiyo kutafakari kwangu

Ndiyo kutafakari kwangu

Mchana kutwa mchana kutwa} *2

Verse 2

Bwana ndiye aliye aliye fungu langu

Nimesema kwamba nitayatii maneno yako

Nimekuomba radhi kwa moyo wangu wote

Nifadhili sawa na ahadi yako

Verse 3

Umemtendea mema mtumishi wako

Sawasawa na neno lako na neno lako

Unifundishe akili na maarifa

Maana nimeyatii maagizo yako

Verse 4

Wewe u mwema na mtenda mema

Unifundishe unifundishe amri zako

Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu

Kuliko maelfu na dhahabu na fedha

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.