SectionsExitSiku Ile Niliyokuita

Siku Ile Niliyokuita

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Siku ile niliyokuita, uliniitikia,

Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu

Nitashukuru kwa moyo wangu (moyo) wote

Mbele ya miu-ngu nitakui-mbia zaburin(Nami ) nitakusujudu nikilikabili

Hekalu lako takatifu, hekalu lako takatifu } *2

Verse 2

Nitalishukuru jina lako, kwa ajili ya fadhili zako

Na uaminifu wako, kwa maana umeikuza

Ahadi yako kuliko jina lako loten

Verse 3

Ingawa Bwana yuko juu, amuona mnyenyekevu

Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali

Nijapokwenda katika shida utanihuisha

Utanyoosha mkono juu ya hasira za adui

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.