SectionsExitSiku Nzuri Kuna Nini

Siku Nzuri Kuna Nini

ChristmasExit
Verse 1

Siku nzuri kuna nini duniani watu wote

Duniani watu wote leo shangwe

Mnieleze leo shangwe ya nini

Mnieleze leo shangwe ya nini

Verse 2

Siku nzuri kuna nini na kelele za vifijo

Na kelele za vifijo zasikika

Mnieleze leo shangwe ya nini

Mnieleze leo shangwe ya ninin

Verse 3

Ni furaha tele, na sherehe kubwa

Ulimwengu, umefanya sherehe kubwa

Mbinguni malaika wanaimba nyimbo nzuri

Tamu za kupendeza, twende tukaona

Verse 4

Kuna nini pangoni Bethlehemu,

Kazaliwa mtoto mzuri mpole na mnyenyekevu

Twende tumsalimu

Verse 5

Huyu mtoto ndiye Mwana wa Mungu

Huyu mtoto ndiye Yesu Kristu

Verse 6

Ni Yesu Kristu, amekuja kwetu, amekuja kutukomboa sisi

Kweli ni furaha kubwa mno

Verse 7

Ni Yesu Kristu, amekuja kwetu, amekuja kutukomboa sisi

Kweli ni furaha kubwa mno

Verse 8

Tuimbe aleluya leo, tuimbe aleluya leo

Tuimbe aleluya leo, tuimbe kazaliwa Bwana

Aleluya tuimbe kazaliwa Bwana

Verse 9

Ulimwengu, umefanya sherehe kubwa

Mbinguni malaika wanaimba nyimbo nzuri

Tamu za kupendeza, twende tukaona

Verse 10

Kuna nini pangoni Bethelehemu,

Kazaliwa mtoto mzuri mpole na mnyenyekevuntwende tumsalimun

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.