Chorus
n{ Siku sita (sita) kabla ya Pasaka, watoto wa Kiyahudi walimlaki Bwana } *2
Wakishika matawi ya mitende mikononi wakiimba wakiseman{ Hosanna hosanna, hosanna Mwana wa Daudi
Hosanna Hosanna Mwana wa Daudi } *2
Verse 2
Wakimwimbia mfalme mkuu nyimbo za furaha na shangwe
Hosanna yeye ajaye kwa jina la Bwana.
Verse 3
Wakitandaza nguo zao kumpa heshima Mwana wa Daudi
Hosanna yeye ajaye kwa jina la Bwana
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.