SectionsExitSiku Sita

Siku Sita

LentExit
Chorus

n{ Siku sita (sita) kabla ya Pasaka, watoto wa Kiyahudi walimlaki Bwana } *2

Wakishika matawi ya mitende mikononi wakiimba wakiseman{ Hosanna hosanna, hosanna Mwana wa Daudi

Hosanna Hosanna Mwana wa Daudi } *2

Verse 2

Wakimwimbia mfalme mkuu nyimbo za furaha na shangwe

Hosanna yeye ajaye kwa jina la Bwana.

Verse 3

Wakitandaza nguo zao kumpa heshima Mwana wa Daudi

Hosanna yeye ajaye kwa jina la Bwana

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.