Chorus
{ Siku zake yeye mtu mwenye haki, atastawi atastawi } *2n{ Na wingi, wingi wa amani, hata mwezi utakapokoma,
Hata mwezi utakakapokoma, utakapokoma } *2
Verse 2
Ee Mungu mpe mfalme, mpe mfalme hukumu zako
Na mwana wa mfalme, umpe haki yako
Atawaamua watu, watu wako kwa haki
Na watu wako walioonewa kwa hukumu
Verse 3
Kwa maana atamuokoa, atamuokoa mhitaji
Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi
Atamhurumia aliye dhaifu, dhaifu na maskini
Na nafsi za wahitaji ataziokoan
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.