SectionsExitSiku Yake Yeye Mwenye Haki

Siku Yake Yeye Mwenye Haki

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Siku zake yeye mtu mwenye haki, atastawi atastawi } *2n{ Na wingi, wingi wa amani, hata mwezi utakapokoma,

Hata mwezi utakakapokoma, utakapokoma } *2

Verse 2

Ee Mungu mpe mfalme, mpe mfalme hukumu zako

Na mwana wa mfalme, umpe haki yako

Atawaamua watu, watu wako kwa haki

Na watu wako walioonewa kwa hukumu

Verse 3

Kwa maana atamuokoa, atamuokoa mhitaji

Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi

Atamhurumia aliye dhaifu, dhaifu na maskini

Na nafsi za wahitaji ataziokoan

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.