SectionsExitSimba Wa Israeli

Simba Wa Israeli

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Simba wa Israeli anaunguruma,

Mbingu za shangwe zinatikisika, zinarukaruka

Ulimwengu wa burudani unatetemeka

Miamba mikubwa mikubwa inasambaratika } *2n{n/s/

Ni shangwe na vigelegele, nderemo chereko vifijo, kwa makofi

Shangilieni, Bwana yesu amefufuka

Manowari ya ukombozi imetia nangann/a/

Ni shangwe na vigelegele, ni nderemo na vifijo makofi ya shangwe

Kwa furaha Mwana wa Mungu amefufuka

Manowari ya ukombozi imetia nangann/t/

Ni shangwe, vigelegele, nderemo na vifijo

Waumini pigeni makofi, Mfalme Yesu amefufuka

Manowari ya ukombozi imetia nangann/b/

Ni shangwe na vigelegele, nderemo chereko vifijonshangwe shangwe, ukombozi Kristu Yesu amefufukanya ukombozi manowari imetia nangann} *2

Verse 2

[a] Aliyekufa mtini bila kosa,n/a/ (akakubali) kuungama na dhambi zetu, amefufuka tumetakasika milelen/s/ akakubali kuyatubu makosa yetu, ameshinda tumetakasika milele

Verse 3

Hatima ya nguvu zote za shetani, (imetangazwa)numeangusha utawala wa mwovu na tumwimbie (wote) aleluya

Verse 4

Utakatifu wa mwanzo, tulioupoteza kwa dhambi

Hii Leo, ameurudishanhesabu ya watoto wa Mungu upya tumerudishiwa

Verse 5

Aliye sadaka ya agano jipya

Amedhihirisha utukufu wake machoni petu

Astahili kutukuzwa kwa sauti kuu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.