Tazama Bwana Tunakuja
Christmas,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
{ Tazama, Bwana tunakuja kwako (leo)
Twaleta sadaka yetu mbele yako
Tunakuomba Mungu Baba pokea } *2
Verse 2
Kwa nguvu zako uliweza kustawisha
Mazao bora, na sasa twakutolea
Mashamba uliyarutubisha kwa
Mvua nzuri mazao kwa wingi yakasitawi
Verse 3
Bahari mito na maziwa Bwana ukajaza
Samaki wengi wa kupendeza
Angani ndege wengi wanarukarukankushangilia neema yako ee Bwana
Verse 4
Wanyama maporini wanarukaruka
Kushangilia neema yako ee Bwana
Wadudu nao wakachecheza kuonyesha
Furaha kubwa waliyo nayo
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.