SectionsEucharistTazameni Kule Kalvary

Tazameni Kule Kalvary

LentEucharist
Verse 1

Tazameni kule Kalvary

Mwokozi aliteswa na dhambi x2

Alizikwa mle kaburini

Mwisho akatoka kwa ushindi

Chorus

Nitashinda Bwana nitashinda

Kama wewe pia ulishinda x2

Nitapita mapitoni mwako; oh –oh

Nimeanza Bwana nitashinda

Verse 3

Njia mbovu zote nimeacha

Nitapitia njia nyembamba

Walipitia Elija na Musa

Walianza mwisho wakashinda

Verse 4

Kupokea wimbo wa ushindi

Kuchukuliwa kwa mawingu x2

Malaika kutwa wanaimba

Wakisifu nyimbo za ushindi

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.