SectionsExitTazameni Uwingu

Tazameni Uwingu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Christmas,Advent,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,AdventExit
Verse 1

Tazameni uwinguni, tazameni Mbinguni kwa Baba

Anakuja mtawala anakuja Bwana wa majeshi

Anakuja na hukumu zake na ujira wake mikononi

Anakuja duniani kote atawale mataifa

Chorus

Yesu - ni Bwana wa mabwana,

Ni Mungu wa miungu

Mfalme Yesu, ni mfalme milele *2

Verse 3

Tazameni uwinguni, tazameni mbinguni kwa Baba

Anakuja mhubiri anakuja mtabiri wetu

Anakuja na maneno yote ya kitabu chake mkononi

Anakuja ayasome yote yatokaye kwake Mungun

Verse 4

Tazameni uwinguni, tazameni mbinguni kwa Baba

Anakuja daktari anakuja mwenye kutuponya

Anakuja mwenye matibabu na madawa yake mikononi

Anakuja awatibu wote wagonjwa wapate afya

Verse 5

Tazameni uwinguni, tazameni mbinguni kwa Baba

Anakuja mchungaji anakuja mwana wake Mungu

Anakuja mchungaji mwema ana fimbo yake mkononi

Anakuja na malisho mema kwa kondoo wake wote.

Verse 6

Tazameni uwinguni, tazameni mbinguni kwa Baba

Anakuja Mkombozi anakuja mwenye mamlaka

Anakuja na uhuru wake na funguo zake mikononi

Anakuja na kuwafungua wale wote walofungwa

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.