SectionsExitTembea Nami Bwana

Tembea Nami Bwana

Ordinary Time,Ordinary Time,Advent,Ordinary TimeExit
Chorus

{Ee Bwana Mungu wangu

Tembea nami usiniache kwenye dunia (hiyo)

Ya machafuko } *2n

Nikianguka, Bwana, uniinue Bwana

Nikiteleza, Bwana, unishike mkono

Uniepushe na maadui wa roho yangu

Uniepushe na maadui wa roho yangu

Verse 2

Tazama ninaishi kwa mashaka na hofu kubwan(Kwani) Baadhi ya wanadamu wenzangu wamegeuka

Kuwa ni maadui zangu,

Wananiwinda wanikamate wavinyokoe viungo,

Eti wajipatie mali.

Verse 3

Tazama ninaishi kwa mashaka na hofu kubwan(Kwani) Baadhi ya waathirika wenzangu wamekamatwa

Bwana na wameshauawa,

Wamewakata vichwa na mikono, na miguu yao Bwana,

Eti wajipatie mali

Verse 4

Tazama sisi wanao wakiwa twakimbilia (kwako)n(Kwako) twazikabidhi roho zetu mikononi mwako

Maana ni wewe kimbilio

Usituachie adui zako watutie mikononi

Bwana utushike mkono

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.