SectionsExitTuliona Nyota Yake

Tuliona Nyota Yake

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Christmas,ChristmasExit
Chorus

Tuliona nyota (tuliona nyota) yake (kule) mashariki

Na tumekuja na zawadi kumsujudia Bwana

Verse 2

Yesu Kristu alipozwaliwa Bethlehemu ya Uyahudi

Tazama mamajuzi wale wa mashariki

Ni zamani za yule mfalme anayeitwa Herode

Wafika Yerusaleme nao wakisema

Verse 3

Yuko wapi aliyezaliwa mfalme wa wayahudi?

Kwa maana sisi tuliona nyota yake mashariki.

Nasi tumekuja kumsujudia,

Herode kusikia, anafadhaika.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.