Chorus
Tuliona nyota (tuliona nyota) yake (kule) mashariki
Na tumekuja na zawadi kumsujudia Bwana
Verse 2
Yesu Kristu alipozwaliwa Bethlehemu ya Uyahudi
Tazama mamajuzi wale wa mashariki
Ni zamani za yule mfalme anayeitwa Herode
Wafika Yerusaleme nao wakisema
Verse 3
Yuko wapi aliyezaliwa mfalme wa wayahudi?
Kwa maana sisi tuliona nyota yake mashariki.
Nasi tumekuja kumsujudia,
Herode kusikia, anafadhaika.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.