Tuna Haki Kufurahiwa
Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1
Tuna haki kufurahiwa leo, manabii walivyoagua
Yatimia sawasawa na chuo Rabi yetu amejifufuan
Verse 2
Mayahudi husema kwa kiburi amekwisha, juzi tukamwua
Kaburile limetimiwa mhuri, jiwe zito hapana fungua
Verse 3
Mambo gani niambie Yahudi, Askari mbio wakimbia
Wana woga hao mjini warudi, kaza jiwe mhuri mpya tian
Verse 4
Yahudi we, bure mashauriyo, sawa mshale urushwao juu
Ukianguka afumwaye ni huyo, za kupata hila zako kuu
Verse 5
Mpumbafu we na Mungu kushindana, ukiwaza kumfunga kwa jiwe
Kaburini Rabi hayumo tena, iwo iwo kaamka mwenyewe
Verse 6
Rabi yangu kweli amefufuka, na hakika ya imani yangu
Nayo basi kwa Yahudi kushtuka, mfumba domo, kimya kwa uchungu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.