Tunakuja Na Vipaji Vyetu
Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
(Tunaleta) mavuno Bwana Mungu pokea.
Tunaleta na fedha, Bwana Mungu pokea.
Mkate na divai twakuomba upokee x2n
Verse 2
Tunakuja na vipaji vyetunmbele zako ee Bwana.
Tunatoa shukrani zetunkwako Baba muumba x2
Verse 3
Ni matunda ya mashamba yetu, uliotujalia.
Ndilo jasho letu sisi Bwana,ntwakuomba pokea x2
Verse 4
Watumishi wako tunakuja,nna zawadi kidogo.
Twakusihi Mungu Baba,npokea mikononi x2
Nafsi zetu zote mali yako, utupoke sisi
Ee Bwana utujalie afya uzima na Baraka x2
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.