SectionsExitTutaishi Kusema

Tutaishi Kusema

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeExit
Chorus

Tutaishia kusema hii dunia mbaya (kweli) * 2

Mungu kaikamilisha bila kusahau kitu sasa

Dunia iweje mbaya kwa sababu ya walimwengu

Verse 2

Mungu kaumba dunia kwa mpango kamilifu

Kuhakikisha usalama kwa kila alichokiumba

Mazao yanastawi chakula kinatutosha, na mvuanzinanyesha sana kwa sababu ya upendo wake

Verse 3

Wapo walio fukara ambao hawajiwezi

Matajiri hawawasaidii japo wana uwezo

Pia mahospitalini hongo zimeshatawala

Pesa sasa zinatawala kuliko upendo wa Mungun

Verse 4

Viongozi maofisini wananyanyasa raia

Bila hongo hakuna kazi ubinadamu uko wapi

Dunia hii ya leo imetapakaa damu

Silaha za kutisha sana kutwa kucha zafanya kazin

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.