Chorus
Twende wote mezani mwake
Tukale mwili na kuinywa damu
Ametualika Bwana Yesu kwa karamu
Verse 2
Yesu mwili na damu, chakula safi
Kishibishacho roho zetu
Twendeni sote tukampokee ametualika
Verse 3
Mimi ndicho chakula cha kushibisha
Kilichoshuka kwake Baba
Anayenila ataishi vema siku zote
Verse 4
Alaye chakula kwa kustahili
Hukaa ndani yangu mimi
Nami ndani yake siku zote asema Bwana
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.