Chorus
Una heri una heri Mama Bikira Maria *2
Verse 2
Mama wa mwokozi, Maria, Mama Bikira Mtakatifu,
Mama bora mwenye huruma, 'takuheshimu siku zote Marian
Verse 3
Bikira uliyekingiwa, mbarikiwa Mama Maria
Bikira usiye na doa, 'takutukuza daima Maria
Verse 4
Uliyebarkiwa sana, kuliko wanawake wote
Uliyejaa neema nyingi, tunakusifu Mama yetu Maria
Verse 5
Mama mwenye usafi wa moyo Mama Bikira mpendelevu
Mama Malkia mwaminifu, una heri kweli milele Marian
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.