SectionsExitUna Heri Una Heri

Una Heri Una Heri

Ordinary TimeExit
Chorus

Una heri una heri Mama Bikira Maria *2

Verse 2

Mama wa mwokozi, Maria, Mama Bikira Mtakatifu,

Mama bora mwenye huruma, 'takuheshimu siku zote Marian

Verse 3

Bikira uliyekingiwa, mbarikiwa Mama Maria

Bikira usiye na doa, 'takutukuza daima Maria

Verse 4

Uliyebarkiwa sana, kuliko wanawake wote

Uliyejaa neema nyingi, tunakusifu Mama yetu Maria

Verse 5

Mama mwenye usafi wa moyo Mama Bikira mpendelevu

Mama Malkia mwaminifu, una heri kweli milele Marian

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.