SectionsEucharistUnivishe Pete

Univishe Pete

WeddingEucharist
Chorus

{ Ewe mwenzangu univishe pete kwenye chanda changu,

Iwe ni alama ya uaminifu wako } *2

Verse 2

Naapa mbele ya Mungu, mimi ni wako siku zote,

Nitamuacha Baba nitamwacha na mama

Niambatane nawe, nasi tutakuwa mwili mmoja

Verse 3

Wewe sio malaika ni mwanadamu kama mimi,

Makosa kawaida tuko sawa maumbile

Maumbile ya Mungu, nitakusamehe ukinikosea

Verse 4

Macho yangu yameona, yameona wengi sana,

Kati yao wengi, ninakuvika pete

Iwe alama yangu ya uaminifu wangu kwako

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.