Chorus
Usinikemee Bwana kwa hasira yako
Uniadhibu Bwana kwa ghadhabu yako,
Unihurumie ee Bwana Mungu wangu
Uniponye Bwana mwenyezi Mungu
Kwani mimi Bwana mimi ni dhaifu,nnatetemeka mpaka mifupanin{[b:] Ewe mwenyezi Mungu) –
Ukawie mpaka lini Bwana unigeukie uniokoe}*2
Verse 2
Na nafsi yangu imefadhaika sana,nwewe Bwana mpaka lini
Bwana urudi uiokoe nafsi yangununiokoe mimi Bwana
Verse 3
Nimechoka kwa kuugua kwangu nateseka kitandani
Kila usiku nalilowesha Godoro langunkwa machozi yangu
Verse 4
Jicho langu limeharibika kwa masumbufu ya dunia
Na kuchakaa kwa sababu ya haonwanaoniudhi mimi Bwana
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.