Verse 1
Utukufu kwa Mungu juu mbingunin
Chorus
Tunakusifu tunakuheshimu
Tunakuabudu tunakutukuza.
Verse 3
Tunakushukuru Mungu kwa ajili
Ya utukufu wako mkuu, Ee Bwana ni Mungu
Ndiwe mfalme wa mbinguni.
Verse 4
Ee Baba mwenyezi Bwana Yesu Kristu
Ee mwana wa pekee ee Mungu Mwanakondoo
Wa Mungu mwana wake Baba
Verse 5
Mwenye kuondoa dhambi za dunia
Utuhurumie, tuhurumie maombi yetu
Bwana uyapokeen
Verse 6
Mwenye kuketi kuume kwa Baba utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe peke yako ni Mtakatifu
Verse 7
Peke yako Bwana peke yako mkuu
Ewe Yesu Kristu, Pamoja naye Roho Mtakatifu
Milele yote.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.