Verse 1
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni, Na amani iwenkwa watu wenye mapenzi mema duniani kote.
Chorus
Tunakusifu tunakusifu, tunakuheshimu
Tunakuabudu, tunakutukuza
Verse 3
Tunakushukuru Mungu kwa ajili, ya utukufu wako
Mkuu ee Bwana ni Mungu ndiwe mfalme wa mbinguni.n
Verse 4
Ee Baba mwenyezi Bwana Yesu Kristu, e mwana wa pekee
Ee Mungu Mwanakondoo wa Mungu mwana wake Baba
Verse 5
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Tuhurumie maombi yetu Bwana uyapokee
Verse 6
Mwenye kuketi kuume kwa Baba utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe peke yako ni mtakatifu
Verse 7
Peke yako Bwana peke yako mkuu ewe Yesu Kristu
Pamoja naye Roho Mtakatifu milele yote.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.