Utukufu kwa Mungu juu mbinguni
Na amani kote dunianin(Kwa watu) wenye mapenzi mema
n|s/a| Tunakusifu Baba, tunakuheshimu,
Twakuabudu sisi tunakutukuzan|t/b| Kusifu tunakusifu, heshimu,
Twakuabudu abudu tunakutukuza
Twakushukuru Mungu kwa ‘tukufu
Wako mkuu ewe Mungu mfalmen(Ee Baba) wa Mbingu Baba yetu
Bwana wetu mwokozi Yesu Kristu
Mwana wa pekee wake Mungun(Uliye) Mwanakondoo wa Mungu
Unayeziondoa dhambi zote
Za dunia utuhurumien(Pokea) pokea ombi letu
Wewe unayeketi kuume
Kwake Baba utuhurumien(Sikia) sikia ombi letu
Kwani pekee yako ndiwe Bwana
Pekee yako mkuu na mkombozin(Pekee) pekee Yesu Kristu
Kwa umoja wa Roho mtakatifu
Ndani yake Baba watukuzwan(Ee Yesu) milele na milele
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.