Utukuzwe
Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
Utukuzwe, ewe Baba, Mungu, utukuzwe -
Aleluya aa
Kwani Yesu mfufuka ametualika -nutukuzwe x2
Baba Muumba ulimwengu
Aleluya x2
Verse 2
Tumepokea mkate, mazao ya mashamba
Ndiyo alama kwetu, ya wema wako mkuu
Verse 3
Ni tunda la bidii, ya mkono na ya moyo
Jalie iwe kwetu, chakula cha uzima n
Verse 4
Zawadi ya divai, kutoka mizabibu
Ndiyo alama kwetu, ya wema wako mkuu n
Verse 5
Ni tunda la bidii, ya mkono na ya moyo
Jalie iwe kwetu, kinywaji cha kirohon
Verse 6
Sifa kwako ee Mungu, kwa kuotesha mkate
Shukrani kwako Baba, kwa kutulisha sisi
Verse 7
Kwa pendo na fadhili, umetufurahisha
Ukatufkisha kwa sherehe yetu leon
Verse 8
Siku ya leo iwe kwa heshima na sifa
Na utukufu wako na kwa mafaa yako
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.