Utukuzwe

Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

Utukuzwe, ewe Baba, Mungu, utukuzwe -

Aleluya aa

Kwani Yesu mfufuka ametualika -nutukuzwe x2

Baba Muumba ulimwengu

Aleluya x2

Verse 2

Tumepokea mkate, mazao ya mashamba

Ndiyo alama kwetu, ya wema wako mkuu

Verse 3

Ni tunda la bidii, ya mkono na ya moyo

Jalie iwe kwetu, chakula cha uzima n

Verse 4

Zawadi ya divai, kutoka mizabibu

Ndiyo alama kwetu, ya wema wako mkuu n

Verse 5

Ni tunda la bidii, ya mkono na ya moyo

Jalie iwe kwetu, kinywaji cha kirohon

Verse 6

Sifa kwako ee Mungu, kwa kuotesha mkate

Shukrani kwako Baba, kwa kutulisha sisi

Verse 7

Kwa pendo na fadhili, umetufurahisha

Ukatufkisha kwa sherehe yetu leon

Verse 8

Siku ya leo iwe kwa heshima na sifa

Na utukufu wako na kwa mafaa yako

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.