SectionsExitWatu Hawatalingana

Watu Hawatalingana

Ordinary TimeExit
Verse 1

{Watu hawatalingana (daima), watatofautianan(nayo ni) makusudi yake Mungu, jina lake litukuzwe } *3

Chorus

{ Sote tumeumbika tulivyo (kadiri) ya mapenzi yake Mungu

Ili utukufu wake Mungu (Mwenyezi) ujulikane kwa wote } *2

Verse 3

Kweli wanadamu wote (hakika) tumeumbwa kwa udongon(hivyo) asili yetu ni moja, tumetoka mavumbini

Verse 4

Wapo walio wanyonge (lakini), pia wapo wenye nguvun(kusudi) Mungu kawaumba hivyo, ili wahudumiane

Verse 5

Wengine kawabariki (sana), amewajalia malin(lakini) wengine amewashusha, wamekuwa hohe hahe.

Verse 6

Wale walio tajiri (kamwe), wasiwanyime fukaran(kwani) maskini wahitaji, huruma ya matajiri

Verse 7

Wote tu wana wa Mungu (hivyo) tuonyeshane upendon(ili) Mungu wetu atukuzwe, sasa na hata milele.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.