Chorus
Wewe Bwana nguvu zangu nakupenda sana *2
Bwana - ni jabali langu (na boma)
Na boma langu, boma na Mwokozi wangu
Verse 2
Mungu wangu Mwamba wangu ninayemkimbilia
Ngao pembe boma ya wokovu wangu
Nitamwita Bwana asitahiliye kusifiwa.n
Verse 3
Bwana ndiye aliye hai na atukuzwe Mungu,
Ampa mfalme ampa mfalme wake mkuu
Amfanyia fadhili masiha wake.n
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.