Wewe Ni Mungu

Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

// u t a n g u l i z i //n

Sikia aa sikia Bwana,

Sikia aa sikia Bwana sauti yangu

Sikia aa sikia leo

Sikia aa sikia Bwana sauti yangu.n

Verse 2

Hii sauti inabeba hisia zangu

Zilizomo moyoni mwangu sikia Bwana sauti yangu

Verse 3

Naeleza furaha niliyo nayo

Na hamu ya kukushukuru sikia Bwana sauti yangu.

Verse 4

Nakufunulia moyo wangu uko wazi,

Nakumiminia, sifa na tenzi Mwenyezi,

Napiga kelele usikie Bwana sauti yangun

Verse 5

Sikia aa sikia Bwana ( Mungu we)

Sikia aa sikia Bwana sauti ya moyo,

Moyo,moyo, wangu moyo, moyo, moyo ha ha-

Chorus

n// k i i t i k i o //

Nimejua ya kwamba - wewe ni Mungu kila wakati

Naona wazi kwamba - wewe ni Mungu kila wakati

Kwenye furaha - wewe ni Mungu kila wakati

Na kwenye magumu bado- wewe ni Mungu kila wakati

Haupungui neno - wewe ni Mungu kila wakatii

Verse 7

n// m a s h a i r i //

Hukutaka raha zinipe kiburi -naeee eee ukanipimia.

Na taabu ziliponishambulia - -nukafungua (Bwana) mlango nikatoka salama.

Verse 8

Na vipaji ona hukunipa vyote -naaee eee ukanipimia.

Ingawaje nilipoweka juhudi -nukafungua( Bwana) mlango nikatoka salama.

Verse 9

Sikuumbwa msafi kama ulivyo,naaee eee ukanipimia.

Hata hivyo dhambi iliponisonga,nukafungua ( Bwana) mlango nikatoka salama.n

Verse 10

n// h i t i m i s h o //n

Yeyeyeye yeyeyeyeye yeyeyeyeyeeeeeen

Verse 11

Nakuja nimebeba sifa kukuzungushia

Maana utukufu ni wako milele na milele-

Nakuja nimebeba sifa kukuzungushia

Maana utukufu ni wako milele na milele.

Verse 12

Nakuja nimebeba shangwe, na chereko

Nakuja nimebeba kinanda watu wakuimbie-

Nakuja nimebeba sifa kukuzungushia

Maana utukufu ni wako milele na milele.n

Verse 13

Nakuja nimebeba sifa kukupambannakuja nimebeba maua jama watu wakutukuze-

Nakuja nimebeba sifa kukuzungushia

Maana utukufu ni wako milele na milele.

Verse 14

Milele na milele, milele na milele,nmilele na milele,milele ni Mungu wa pekee...*5

Verse 15

n* (Bass) Wewe ni Mungu, wewe ni Bwana,nwe ni mwema, utabaki Mungu X2n* ( Tenor) wewe ni wa kwanza ni Mungu weee, wewe ni wa mwisho eee

Unaitwa Alfa ni Mungu wee, wewe ni Omega eee

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.