SectionsExitWewe Petro Utanikana

Wewe Petro Utanikana

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Wewe Petro, nakwambia, utanikana mara tatu

Kabla ya jogoo kuwika, wewe Petro utanikana } *2

Verse 2

Simoni Petro akamwambi, Bwana unakwenda wapi

Yesu akamjibu, niendapo huwezi kunifuata sasa

Lakini utanifuata baadaye

Verse 3

Petro akamwambia, Bwana,

Kwa nini mimi siwezi kukufuata sasa

Mimi nitatoa uhai wangu kwa ajili yako

Verse 4

Yesu akamjibu, je wewe utautoa uhai wako kwa ajili yangu

Amin amin nakuambia wimbi hatawika

Hata wewe utakapokuwa umenikana mara tatu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.