Chorus
{Ya nini malumbano hayo
Ya nini malumbano hayo ndani ya moyo wako} *2
Chorus
Chagua kuwa moto au baridi sio vuguvugunewe Mkristu utaponea wapi wewe
Chagua kuwa moto au baridi sio vuguvugunewe Mkristu utaponea wapi wewe
Verse 3
Asubuhi kanisani na jioni kwa waganga
Siku ya mwisho utaponea wapi wewe
Yesu unamhitaji na dunia unaipenda
Siku ya mwisho utaponea wapi wewe
Verse 4
Imani bila matendo haifai kitu kwa Bwana
Siku ya mwisho utaponea wapi wewe
Angalia wadhulumu maskini na wahitaji
Siku ya mwisho utaponea wapi wewe
Verse 5
Uongo unaongea kutwa kucha wala huchoki
Siku ya mwisho utaponea wapi wewe
Rushwa unapokea majivuno wala huachi
Siku ya mwisho utaponea wapi wewe
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.