Chorus
Yesu Kristu ni mfalme-
Ni mfalme wa wafalme, Ni Bwana wa mabwana
Utawala wake si wa dunia hii [Dunia hii]
Utawala wake ni wa Mbinguni
Verse 2
Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hii (kweli)
Hakika angekuwa na jeshi lake la kumlinda
Verse 3
Utawala wake Yesu ungekuwa ni dunia hiin(kweli) Hakika angekuwa na serikali ya kuiongoza
Verse 4
Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hiin(kweli) Kamwe asingekufa kwa ajili yetu sisi wanadamu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.