SectionsExitYesu Kristu Ni Mfalme

Yesu Kristu Ni Mfalme

MarianExit
Chorus

Yesu Kristu ni mfalme-

Ni mfalme wa wafalme, Ni Bwana wa mabwana

Utawala wake si wa dunia hii [Dunia hii]

Utawala wake ni wa Mbinguni

Verse 2

Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hii (kweli)

Hakika angekuwa na jeshi lake la kumlinda

Verse 3

Utawala wake Yesu ungekuwa ni dunia hiin(kweli) Hakika angekuwa na serikali ya kuiongoza

Verse 4

Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hiin(kweli) Kamwe asingekufa kwa ajili yetu sisi wanadamu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.