Yesu Ni Mwangaza
Ordinary Time,MarianBible Procession
Verse 1
Ndipo ukatema mate, aridhini, ukalifanya tope, mkononi
Ukampaka kipofu , ma-choni, macho yakafunguka, akaona,
Na mimi ni kipofu, nifumbue, macho ya roho yangu, kwa maana
Chorus
{n{ / s/ Mwangaza ni wewe, Mwokozi ni wewe
Mwalimu ni wewe, Kiongozi ni wewen/ w / Ni wewe mwangaza na ni wewe Mwokozi
Ni wewe mwalimu na ni wewe kiongozi } *2 Yesun} *2
Verse 3
Ukamshusha kutoka, kwenye mti, Yule mtu mfupi, wa ushuru
Ukala nyumbani mwake, Zakayo, na ukamfundisha, kugeuka
Naye akakusikia, mwalimu, kageuza mwenendo, kwa maanan
Verse 4
Naomba niongoze, ee Yesu, nibadili mwenendo, nigeuke
Njia inipotoshayo, niiache, uniponye usugu, wa moyoni
Dhambi niirudiayo, niishinde, nifundishe niweze, kwa maana
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.