SectionsBible ProcessionYesu Ni Mwangaza

Yesu Ni Mwangaza

Ordinary Time,MarianBible Procession
Verse 1

Ndipo ukatema mate, aridhini, ukalifanya tope, mkononi

Ukampaka kipofu , ma-choni, macho yakafunguka, akaona,

Na mimi ni kipofu, nifumbue, macho ya roho yangu, kwa maana

Chorus

{n{ / s/ Mwangaza ni wewe, Mwokozi ni wewe

Mwalimu ni wewe, Kiongozi ni wewen/ w / Ni wewe mwangaza na ni wewe Mwokozi

Ni wewe mwalimu na ni wewe kiongozi } *2 Yesun} *2

Verse 3

Ukamshusha kutoka, kwenye mti, Yule mtu mfupi, wa ushuru

Ukala nyumbani mwake, Zakayo, na ukamfundisha, kugeuka

Naye akakusikia, mwalimu, kageuza mwenendo, kwa maanan

Verse 4

Naomba niongoze, ee Yesu, nibadili mwenendo, nigeuke

Njia inipotoshayo, niiache, uniponye usugu, wa moyoni

Dhambi niirudiayo, niishinde, nifundishe niweze, kwa maana

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.