Verse 1
Zaeni matunda mema, zaeni matunda yale
Zaeni yenye baraka, zaeni ya heri
Chorus
Bwana akiyapokea, yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema, zaeni ya heri
Verse 3
Safisha mwenendo wako, safisha matendo yako
Safisha na Bwana Yesu, safisha yote
Verse 4
Fanyeni kazi kindugu, fanyeni kazi kwa bidii
Fanyeni na Bwana Yesu, fanyeni na yote
Verse 5
Tolea matendo yako pamoja na moyo wako,
Naye Bwana Mungu wako atakubariki
Verse 6
Baraka za Mungu Baba, baraka za Mungu mwana
Na za Roho Mtakatifu ziwe nanyi nyote
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.