SectionsOffertoryZaeni Matunda Mema

Zaeni Matunda Mema

Ordinary TimeOffertory
Verse 1

Zaeni matunda mema, zaeni matunda yale

Zaeni yenye baraka, zaeni ya heri

Chorus

Bwana akiyapokea, yatabarikiwa vyema

Zaeni matunda mema, zaeni ya heri

Verse 3

Safisha mwenendo wako, safisha matendo yako

Safisha na Bwana Yesu, safisha yote

Verse 4

Fanyeni kazi kindugu, fanyeni kazi kwa bidii

Fanyeni na Bwana Yesu, fanyeni na yote

Verse 5

Tolea matendo yako pamoja na moyo wako,

Naye Bwana Mungu wako atakubariki

Verse 6

Baraka za Mungu Baba, baraka za Mungu mwana

Na za Roho Mtakatifu ziwe nanyi nyote

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.